728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 03, 2016

    AFCON:LEO TUNISIA,CAMEROON DIMBANI,KESHO TANZANIA,UGANDA,RATIBA YOTE IKO HAPA

    CAIRO,MISRI.

    MICHUANO ya kusaka tiketi ya kufuzu Fainali za Afrika (AFCON) za mwaka 2017 nchini Gabon itaendelea tena wikendi hii kwa mataifa mbalimbali kushuka viwanjani kuwania pointi tatu muhimu ili kufuzu katika fainali hizo kubwa kabisa za soka Afrika.

    Ifuatayo ni ratiba ya michezo itakayochezwa leo Ijumaa,Jumamosi na Jumapili.

    IJUMAA JUNI 3,2016

    Djibouti v Tunisia 
    Libya v Morocco   
    Mauritania v Cameroon 

    JUMAMOSI JUNI 4,2016

    Burundi v Senegal 
    Sao Tome v Cape Verde 
    Rwanda v Mozambique
    Botswana v Uganda
    Tanzania v Egypt
    Namibia v Niger
    South Sudan v Mali
    Sierra Leone v Sudan
    Guinea-Bissau v Zambia
    Gambia v South Africa

    JUMAPILI JUNI 5,2016

    Ivory Coast v Gabon
    Kenya v Congo
    Liberia v Togo
    Benin v Equatorial Guinea
    Madagascar v Congo
    Comoros v Burkina Faso
    Lesotho v Ethiopia
    Swaziland v Guinea
    Zimbabwe v Malawi
    Central African Republic v Angola



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: AFCON:LEO TUNISIA,CAMEROON DIMBANI,KESHO TANZANIA,UGANDA,RATIBA YOTE IKO HAPA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top