728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, November 23, 2016

    Kocha Hans Pluijm alimwa Faini

    Na Faridi Ozil Miraji

    Kocha wa yanga, Hans Van Pluijm amepigwa Faini ya Sh 5000,000 na kufungiwa mechi 3 baada ya wakati wa mapumziko kuwazonga waamuzi na kuwatolea maneno ya kashfa.
    Pia baada ya mechi kumalizika alikwenda kwenye chumba cha waamuzi na kuwatolea maneno ya kashfa.
    Adhabu hiyo ni ya uzingativu wa kanuni ya 40 (1)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kocha Hans Pluijm alimwa Faini Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top