728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, November 22, 2016

    Samatta nje tuzo mchezaji bora Afrika

    Na Faridi Ozil Miraji

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Ally Samatta ametupwa nje katika tuzo za mchezaji bora barani Afrika mwaka huu.
    Samatta alikuwepo katika kundi moja na wachezaji wakali kama Yaya Toure, Sado Mane na wengine wengi. Hata hivyo watakaowania tuzo hiyo kwa mwaka huu
    Riyad Mahrez ( Leicester city, Algeria)
    Islam Slimani ( Leicester city, Algeria) 
    Mohammed Salah ( AS Roma, Misri)
    Sadio Mane ( Liverpool, Senegal)
    Pierre Emeeick Aubemiying ( Boeussia Dortumund, Gabon)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Samatta nje tuzo mchezaji bora Afrika Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top