728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, November 23, 2016

    Kocha wa Azam Atupwa jela ya TFF na Faini

    Na Faridi Ozil Miraji

    Mechi namba 116 ( Mbao Fc vs Azam Fc)  Kocha wa Azam Fc Zeben Hernandez amefungiwa mechi tatu (3) na Faini ya Sh 5000,000 baada ya kuondolewa kwenye benchi la ufundi ( orde red off) kwa kukataa kuheshimu mipaka ya eneo la ufundi ( technical area) katika mechi hiyo
    Adhabu imezingatia kanuni ya 40 (11).

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kocha wa Azam Atupwa jela ya TFF na Faini Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top