728x90 AdSpace

Wednesday, November 23, 2016

Kocha wa Azam Atupwa jela ya TFF na Faini

Na Faridi Ozil Miraji

Mechi namba 116 ( Mbao Fc vs Azam Fc)  Kocha wa Azam Fc Zeben Hernandez amefungiwa mechi tatu (3) na Faini ya Sh 5000,000 baada ya kuondolewa kwenye benchi la ufundi ( orde red off) kwa kukataa kuheshimu mipaka ya eneo la ufundi ( technical area) katika mechi hiyo
Adhabu imezingatia kanuni ya 40 (11).

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Kocha wa Azam Atupwa jela ya TFF na Faini Rating: 5 Reviewed By: Unknown