728x90 AdSpace

Tuesday, November 22, 2016

Refa Matrin Saanya, Samuel Mpenzu na Rajabu Mrope waitwa kikaangoni

Na Faridi Ozil Miraji

Uchunguzi dhidi ya waamuzi Matrin Saanya, Samuel Mpenzu ( mechi ya Yanga vs Simba) Thomas Mkombozi ( mechi ya Coastal Union vs KMC) na Rajabu Mrope ( mechi ya Mbeya City vs Yanga) umekalibia.
Hatua ya mwisho ya Uchunguzi huo ni waokufika mbele ya kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi (kamati ya saa 72) ambapo watahojiwa ili kutoa ufafanuzi katika masuala mbalimbali yaliyojitokeza katika taarifa zao.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Refa Matrin Saanya, Samuel Mpenzu na Rajabu Mrope waitwa kikaangoni Rating: 5 Reviewed By: Unknown