728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, November 22, 2016

    Refa Matrin Saanya, Samuel Mpenzu na Rajabu Mrope waitwa kikaangoni

    Na Faridi Ozil Miraji

    Uchunguzi dhidi ya waamuzi Matrin Saanya, Samuel Mpenzu ( mechi ya Yanga vs Simba) Thomas Mkombozi ( mechi ya Coastal Union vs KMC) na Rajabu Mrope ( mechi ya Mbeya City vs Yanga) umekalibia.
    Hatua ya mwisho ya Uchunguzi huo ni waokufika mbele ya kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi (kamati ya saa 72) ambapo watahojiwa ili kutoa ufafanuzi katika masuala mbalimbali yaliyojitokeza katika taarifa zao.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Refa Matrin Saanya, Samuel Mpenzu na Rajabu Mrope waitwa kikaangoni Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top