728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, June 20, 2016

    YANGA SC YACHAPWA NA MO BEJAIA SHIRIKISHO

    Bejaia,Algeria.

    Timu ya Yanga imeanza vibaya mechi zake za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) baada ya kufungwa bao 1-0 na MO Bejaia huko Algeria.

    Bao hilo lililoizamisha Yanga lilifungwa dakika ya 20 na Yacine Sahli, katika mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia Jumatatu.

    Katika mchezo huo uliochezeshwa na waamuzi kutoka Morocco, Amissi Tambwe alishindwa kufurukuta na kutolewa kumpisha Simon Matheo ambaye hata hivyo hakusaidia Yanga kuepuka kipigo hicho.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YANGA SC YACHAPWA NA MO BEJAIA SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top