Roma,Italia.
MABAO ya dakika za 12 na 24 ya walinzi Dani Alves na Leonardo Bonucci yameipa Juventus ubingwa wa tatu mfululizo wa kombe la Coppa Italia baada ya Jumatano usiku kuifunga Lazio mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa huko Studio Olimpico,Roma.![Leonardo Bonucci, scorer of Juventus' second goal, drinks from the Coppa Italia trophy](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vcbKLqopCj7xKktN_JUNI1dwBWCwdMtNEooHrjoH6-iJJCxD6TTMgUj3ltSGc_pFlezDHlvmA05iI0PWXsF4qFfOtcuYxvAK8jeFb-ij1m6vAvXkgp1clo2L8hH0D3gda_VNjgiU8aYOgAp1UBYCbSDAcGwGOWWJjgTdkvq9PGNB-XX0W3=s0-d)
Juventus imekuwa timu ya kwanza kutwaa ubingwa wa Coppa Italia mara tatu mfululizo.Jumla imetwaa ubingwa huo mara 12.![Dani Alves, who opened the scoring at the Stadio Olimpico, holds his Coppa Italia medalÂ](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_uV83E6iVRVBCaiSXTetept99PWcisWh8IiRuEj2uswzdsUMwAg0SkQmxUQSRyFw9JvS9m0LSdxI-26gY8Z_dGacVZN2qlizzvDVIktRev9E613ToQsfH9PYME06J0BSZzURy-qwqRS15o1K8pYmlHtomf0OrwaHPKgkK7ldBVp6LOY8ZMl=s0-d)
Rais wa Italia,Sergio Matarella alikuwa sehemu ya watu waliohudhuria mchezo huo wa fainali.BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
0 comments:
Post a Comment