728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, May 28, 2017

    Mai 27 Siku ya Historia ya Mabingwa


    Faridi Miraji , Dar es salaam.                      


    Tanzania -Fainali ASFC 
      Simba Sc 2-1 Mbao Fc 
    Simba wamekuwa mabingwa wa kombe la shirikisho la Tanzania maarufu kama ASFC na kuwa wawakilishi wa Tanzania kwenye kombe la shirikisho Afrika  baada ya miaka minne pia SIMBA wamewafikia wapinzani wao Yanga kwa kutwaa ubingwa wa kombe la shirikisho Mara nne Mara ya mwisho Simba kutwaa kombe hili ilikuwa mwaka 2000



       England -Fainali FA cup
    Arsenal 2-1 Chelsea 
    Mtu na bahati yake bhana Unajua Wenger mjanja Sana mechi ambazo unahic atafukuzwa ndio anafanya vzr Arsenal ameweka Historia ya kutwaa ubingwa wa FA cup Mara nyingi zaidi wametwaa Mara 13 moja zaidi ya Man United Mara 12.



    Hispania -Fainal Copa Del Rey 
              Fc Barcelona 3-1 Deportivo Alvés 
    Baada ya kukosa makombe ya laliga,  uefa sasa Barcelona wametoka na kitu kombe la 29 Copa Del Rey.



    Germany -Fainali DFB Pokal 
             Frankfurt 1-2 Borrusia Dontmund 
    Baada ya kukosa Bundersliga Borrusia Dontmund wamefanikiwa kubeba kombe la DFB Pokal kombe la ujerumani 



       Fainali Coupe De France 
      Angers 0-1 PSG 
    Hawa nao wameweka Historia katika kombe la coupe de France kombe la Ufaransa Kwa kubeba Mara nyingi zaidi wamebeba mara 11. Baada ya kukosa Ligue 1 kwenda na Monaco, Borrusia Dontmund nao wanajipoza Kwa kombe la Ufaransa.



           Scotland -Scottich Cup 
           Celtic 2-1 Aberdeen
      Celtic wamebeba kombe la Mfalme la Scotland maarufu kama Scottich Cup

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mai 27 Siku ya Historia ya Mabingwa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top