728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, May 28, 2017

    Bao la kujifunga laipa Psg ubingwa wa 11 wa kombe la ligi


    Paris,Ufaransa.

    BAO la kichwa la kujifunga la mlinzi wa Angers SCO,Issa Cissokho katika dakika ya 91 limeipa Paris Saint-Germain ubingwa wa kombe la ligi (Coupe de France) kwa mara ya tatu mfululizo baada ya Jumamosi usiku kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali wa uliochezwa kwenye uwanja wa Stade de France.



    Ubingwa huo ambao ni wa 11 unaifanya Paris Saint-Germain iwe ni timu yenye mafanikio zaidi kwenye michuano hiyo ikifuatiwa na Marseille iliyotwaa ubingwa huo mara 10.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Bao la kujifunga laipa Psg ubingwa wa 11 wa kombe la ligi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top