728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, May 28, 2017

    Mwashiuya atakata,Yanga SC ikiinyuka 3-0 AFC Arusha


    Arusha,Tanzania.

    GEOFFREY Mwashiuya leo ameibuka shujaa baada ya kuifungia Yanga SC mabao mawili (23,75) katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya AFC ya Arusha katika mchezo mkali wa kirafiki uliochezwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. ,

    Bao jingine la Yanga SC limefungwa na mshambuliaji kinda ,Festo Greyson (85).

    Yanga SC leo iliwakilishwa na Ali Mustafa,Pato Ngojani,Mohamedi Ally,Nadir Haroub,Vicent Bossou,Maka Edward,Yusufu Mhilu,Geofrey Mwashuiya,Mateo Antony, Juma Mahadhi,Emanuel Martin

    Akiba
    Deogratius Munishi,Samwel Greyson,Festo Greyson,Rahim Sheikh


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mwashiuya atakata,Yanga SC ikiinyuka 3-0 AFC Arusha Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top