728x90 AdSpace

Saturday, May 27, 2017

Ndio Fainali ASFA , Habari Picha Kutoka uwanja wa Jamuhuri mjini Dodoma


Faridi Miraji , Dar es salaam.                 

MAPEMA TU UWANJA UMEJAA
FAINALI ASFC SIMBA SC VS MBAO FC 

Simba tayari wamejaa uwanja wa Jamhuri Dodoma kwenye fainali ya kombe la shirikisho maarufu kama ASFC.  Mchezo utakaoanza saa 10:00 jioni.  Mshindi wa leo ataiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika.


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Ndio Fainali ASFA , Habari Picha Kutoka uwanja wa Jamuhuri mjini Dodoma Rating: 5 Reviewed By: Unknown