728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, May 31, 2017

    Ederson aanza vipimo Man City,umiliki wa pande tatu kuchelewesha usajili wake

    Manchester,England.
    KIPA wa Benfica ya Ureno,Ederson akiwa amejipumzisha kitini akisubiri kuanza kufanyiwa zoezi la upimaji afya kabla ya kumwaga wino kuichezea Manchester City kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 35.City still have to negotiate a settlement on the goalkeeper's third-party ownership issuesHata hivyo usajili wa Ederson ,23,huenda ukachelewa kutangazwa hii ni baada ya mchezaji huyo kumilikiwa na pande tatu yaani Benfica,wakala wake George Mendez pamoja na klabu yake ya Rio Ave kummiliki kwa asilimia 30.Hivyo usajili huo utakamilika pindi pande hizo tatu zitakapokuwa zimefikia mwafaka
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Ederson aanza vipimo Man City,umiliki wa pande tatu kuchelewesha usajili wake Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top