KOCHA
wa Manchester United Mreno,Jose Mourinho amejumuisha makinda 10 kwenye kikosi
cha miamba hiyo ambacho kesho Jumapili kitakuwa nyumbani Old Trafford kucheza
mchezo wake wa mwisho wa ligi kuu kwa kuikaribisha timu ngumu ya Crystal Palace.
Makinda hao ni makipa Joel Pereira na Kieran
O'Hara.Wengine ni Demetri Mitchell,
McTominay, Josh Harrop, Matthew Willock, Angel Gomes na Zachary Dearnley ambao
wataungana na Timothy Fosu-Mensah na Axel
Tuanzebe ambao tayari wameshaonja radha ya kukichezea kikosi cha
wakubwa.Akiulizwa kama makinda hao wamewiva kuitumikia timu hiyo
Jumapili,Mourinho amesema hapana.Siyo wote.
Alessia Russo inspires heroic Arsenal comeback against Real Madrid in
Women's Champions League quarter-finals - with Mikel Arteta's side looking
to repeat the trick next month
-
TARA ANSON-WALSH AT THE EMIRATES STADIUM: Russo, who has had such a
wonderful season since Renee Slegers took charge last October, pulled her
team back int...
0 comments:
Post a Comment