KOCHA
wa Manchester United Mreno,Jose Mourinho amejumuisha makinda 10 kwenye kikosi
cha miamba hiyo ambacho kesho Jumapili kitakuwa nyumbani Old Trafford kucheza
mchezo wake wa mwisho wa ligi kuu kwa kuikaribisha timu ngumu ya Crystal Palace.Makinda hao ni makipa Joel Pereira na Kieran
O'Hara.Wengine ni Demetri Mitchell,
McTominay, Josh Harrop, Matthew Willock, Angel Gomes na Zachary Dearnley ambao
wataungana na Timothy Fosu-Mensah na Axel
Tuanzebe ambao tayari wameshaonja radha ya kukichezea kikosi cha
wakubwa.Akiulizwa kama makinda hao wamewiva kuitumikia timu hiyo
Jumapili,Mourinho amesema hapana.Siyo wote.
Roy Keane and Paul Merson predict Arsenal midfielder Martin Odegaard will
'absolutely destroy' Spurs star who 'gets caught out quite a bit' in north
London derby
-
Roy Keane and Paul Merson have slammed one of Tottenham's players before
stating that Martin Odegaard will 'absolutely destroy him' in the north
London derby.
0 comments:
Post a Comment