728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, May 20, 2017

    Mourinho aita makinda kumi kuivaa Crystal Palace kesho Jumapili

    KOCHA wa Manchester United Mreno,Jose Mourinho amejumuisha makinda 10 kwenye kikosi cha miamba hiyo ambacho kesho Jumapili kitakuwa nyumbani Old Trafford kucheza mchezo wake wa mwisho wa ligi kuu kwa kuikaribisha timu ngumu ya Crystal Palace.United is resting a number of his first team players for the Europa League final next weekMakinda hao ni makipa Joel Pereira na Kieran O'Hara.Wengine ni  Demetri Mitchell, McTominay, Josh Harrop, Matthew Willock, Angel Gomes na Zachary Dearnley ambao wataungana na Timothy Fosu-Mensah na Axel Tuanzebe ambao tayari wameshaonja radha ya kukichezea kikosi cha wakubwa.Akiulizwa kama makinda hao wamewiva kuitumikia timu hiyo Jumapili,Mourinho amesema hapana.Siyo wote.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mourinho aita makinda kumi kuivaa Crystal Palace kesho Jumapili Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top