728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, May 20, 2017

    TFF yaanika viingilio Simba,Mbao kombe la FA,yatoa pia utaratibu wa kupata tiketi


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    Katika kuelekea mchezo wa fainali ya FA utakaofanyika tare27 mwezi huu mjini Dodoma,shirikisho la kandanda  Tanzania TFF limeanika wazi viingilio vya mchezo huo huku likiweka utaratibu wa namna ya kujiandikisha na namna ya kupata tiketi kwa wapenzi wa soka za kuwawezesha kutazama mtanange huo.


    Kwa mujibu wa TFF imeelezwa kua "wapenzi wa mpira wa miguu wanaweza kujiandishisha kwenye ofsisi za vyama vya mpira wa miguu vya mikoa waliyopo kulingana na aina ya tiketi wanayohitaji  ili wapatiwe tiketi hiyo pindi watakapofika dodoma".

    Mwisho wa watu kujiandikisha itakua ni siku ya jumatano ya tarehe 24/05/2017 na baada ya hapo tiketi zitapatikana Dodoma  siku ya ijumaa tarehe 26/05/2017 na jumamosi pale uwanja  wa Jamuhuri Dodoma.


    Hata hivyo katika mchezo huo viingilio vita kua katika mgawanyo ufuatao:-
    VIP A  -  20,000/- ( WATU,500)
    VIP B  -  15,000/-(WATU 1500)
    MZUNGUKO - 5000/-(WATU 20,000)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TFF yaanika viingilio Simba,Mbao kombe la FA,yatoa pia utaratibu wa kupata tiketi Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top