728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, May 26, 2017

    Pablo Zabaleta atua West Ham United


    London,England

    MLINZI wa kimaifa wa Argentina,Pablo Zabaleta (Pichani) akitia saini mkataba wa miaka miwili wa kujiunga na West Ham United.

    Zabaleta mwenye umri wa miaka 32 amejiunga na West Ham United baada ya klabu yake ya sasa ya Manchester City kugoma kumpa mkataba mpya yeye pamoja na wachezaji wengine watano wenye umri mkubwa.

    Mlinzi huyo wa zamani wa Espanyol ya Hispania anaiacha Manchester City akiwa ameichezea jumla ya michezo 300.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Pablo Zabaleta atua West Ham United Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top