728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, May 31, 2017

    Simba Sc yafungwa katavi dhidi ya Nyundo Fc


    Mabingwa wa kombe la ASFC Simba Sc imecheza mchezo wa kirafiki Leo majila ya saa kumi huko katavi na Wenyeji wao Nyundo Fc ambopo Nyundo Fc imeibuka na ushindi wa Magoli Mawili kwa moja la Simba 

    Mchezo huu ulikuwa na nia ya kulitembeza kombe mkoa kwa mashabiki wao kama Shukrani na Simba Sc kesho inatarajia kurudi dar es salaam kwaajili ya mapumziko mafupi na kujiandaa na ligi ya Sport Pesa Super Cup inayoanza mwezi June.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Simba Sc yafungwa katavi dhidi ya Nyundo Fc Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top