TIMU ya taifa ya Hispania ya vijana ya chini ya miaka 17,La Roja usiku wa kuamkia leo Jumamosi imeandika historia nyingine kubwa baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Ulaya (Euro) ya vijana wa umri huo yalifanyika huko nchini Croatia baada ya kuwafunga vijana wenzao wa England kwa penati 4-1 baada ya sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida.BOFYA MAANDISHI HAYA KWA HABARI ZAIDI
Real Madrid 'suffer major Jude Bellingham blow' ahead of Club World Cup
campaign
-
The Real Madrid midfielder has suffered with a shoulder problem since
falling awkardly and dislocating it during a La Liga match against Rayo
Vallecano in ...
0 comments:
Post a Comment