728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, June 06, 2016

    YANGA SC YANASA BEKI LA MTIBWA SUGAR

    Dar es Salaam,Tanzania.

    MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Yanga SC baada ya leo jioni kumsajili bekiVincentAndrew amww "Dante" toka Mtibwa Sugar kwa mkataba wa miaka miwili.

    Dante amekuwa ni mchezaji wa pili kujiunga na Yanga SC leo hii baada ya golikipa Beno Kakolanya kutoka Tanzania Prisons ya Mbeya ambaye nae amesaini mkataba wa miaka miwili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YANGA SC YANASA BEKI LA MTIBWA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top