728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, June 15, 2016

    RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND 2016/17 YATOKA,FAHAMU YOTE KUHUSU RATIBA HIYO

    London,England.


    Mabingwa watetezi Leicester City wataanza ligi kwa kupambana na Hull City ugenini Agosti 13. Mechi kubwa siku hiyo ni mpambano kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool kwenye uwanja wa Emirates. Jose Mourinho na Pep Guardiola hawatahitaji kusubiri sana kukutana, kwani Manchester United na Manchester City watacheza Old Traford Septemba 10. Na mchezo wa kwanza wa West Ham kwenye makazi yao mapya ya uwanja wa Olimpiki, utakuwa dhidi ya Bournemouth Agosti 20. 

    Mechi za kwanza Agosti 13:
    Arsenal v Liverpool
    Bournemouth v Manchester United
    Burnley v Swansea City
    Chelsea v West Ham United
    Crystal Palace v West Bromwich Albion
    Everton v Tottenham Hotspur
    Hull City v Leicester City
    Manchester City v Sunderland
    Middlesbrough v Stoke City
    Southampton v Watford
    Ratiba kamili bofya link hii: http://www.bbc.co.uk/sport/football/premier-league/fixtures
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND 2016/17 YATOKA,FAHAMU YOTE KUHUSU RATIBA HIYO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top