728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, January 03, 2015

    MAPINDUZI CUP:YANGA YAUA 4-0

    Klabu ya Yanga imeanza vyema kuusaka ubingwa wa kombe la Mapinduzi kwa ushindi mnono wa goli 4-0 dhidi ya klabu ya Taifa Jang'ombe katika mchezo uliopigwa jana usiku katika dimba la Amaan mjini Zanzibar.

    Yanga ilipata magoli yake kupitia winga wake machachari Simon Msuva aliyefunga magoli matatu yaani hat -trick huku mshambuliaji Sherman akifunga moja.

    Matokeo Mengine
    Azam 2-2 KCCA
    KMKM 0-0 MTENDE FC

    Ratiba ya Leo

    Simba vs Mafunzo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAPINDUZI CUP:YANGA YAUA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top