728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, January 24, 2015

    LA LIGA:BARCA,MADRID ZAUA UGENINI..RONALDO ALIMWA RED CARD

    Barcelona,Hispania.

    Vilabu vya Barcelona na Real Madrid vimeendelea kuchuana vikali katika mbio za kuusaka ubingwa wa konbe la La Ligo baada ya leo jumamosi kuibuka na ushindi katika viwanja vyao ugenini.

    Barcelona iliyokuwa katika dimba la Estadio Manuel Martinez Valero imeibamiza klabu ya Elche kwa jumla ya magoli 6-0 kwa magoli ya Lionel Messi (2),Neymar (2),Pedro (1) na Gerrard Pique (1).

    Katika mchezo mwingine Real Madrid imeibanjua klabu ya Cordoba kwa jumla ya magoli 2-1 kwa magoli ya Karim Benzema na Gareth Bale huku Cristian Ronaldo akilimwa kadi nyekundu kwa kugombana uwanjani.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LA LIGA:BARCA,MADRID ZAUA UGENINI..RONALDO ALIMWA RED CARD Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top