728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, January 14, 2015

    RASMI BONY ATUA MAN CITY

    Kutoka ndani ya chama cha soka cha Ivory Coast (FA) taarifa zinasema klabu ya Manchester City imefanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji hatari wa nchi hiyo anayekipiga katika klabu ya Swansea City Wilfred Bony (26).
    Habari zaidi zinasema Swansea City imekubali rasmi leo jumatano ofa ya Manchester City ya £28m na tayari inafikiria kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Newcastle United
    Papis Demba Cisse kuchukua nafasi ya nyota huyo aliyefunga mwaka 2014 akiwa kinara wa mabao katika ligi ya Uingereza baada ya kupachika mabao 20.
    Ikiwa ni idadi kubwa kuliko washambuliaji wote wa ligi hiyo maarufu zaidi duniani na inayosifika kwa ugumu na matokeo ya ajabu ajabu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RASMI BONY ATUA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top