728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, January 17, 2015

    VPL:YANGA YABANWA,SIMBA YAIUA NDANDA

    Yanga imepata sare ya pili mfululizo baada ya kumaliza dakika 90 dhidi ya Ruvu Shooting bila bao.

    Sare hiyo inakuwa ni ya pili kwa
    Kocha Hans van der Pluijm raia wa Uholanzi ambaye amerejea kuinoa Yanga.

    Katika mechi hiyo ya leo kwenye
    Uwanja wa Taifa jijini Dar, Yanga
    ilipoteza zaidi ya nafasi tatu za
    kufunga kupitia Simon Msuva, Amissi Tambwe na Andrey Couinho.

    Kipindi cha pili kilionekana kuwa
    kigumu kwao na zaidi ubabe ulitawala zaidi katika mechi hiyo ya leo huku wachezaji wa Shooting wakimzonga mwamuzi kila mara.

    Matokeo Mengine Vpl

    Stand Untd   0-1  Azam Fc
    Ndanda Fc    0-2  Simba Sc
    Kagera           0-1  Mbeya City

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VPL:YANGA YABANWA,SIMBA YAIUA NDANDA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top