728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, January 20, 2015

    VALDES KUANZA KAZI IJUMAA KOMBE LA FA

    Manchester,England.
                                  
    Mlinda mlango Victor Valdes 33 anatarajiwa kuanza kuidakia Manchester United katika mchezo wa Kombe la FA Raundi ya Nne dhidi ya Cambridge United Ijumaa usiku dimba la Abbey
    .
    Mlinda mlango huyo wa zamani wa Barcelona, ataidakia Manchester United kwa mara ya kwanza tangu atue klabuni hapo hivi karibuni dhidi ya timu hiyo ya daraja la chini ya Cambridge, kwenye uwanja wake wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 8,100.
    Valdes amesaini mkataba wa miezi 18ni chaguo la pili klabuni hapo nyuma ya raia mwenzake wa Hispania David De Gea.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VALDES KUANZA KAZI IJUMAA KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top