728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, January 28, 2015

    VPL:SIMBA YADUNDWA NA MBEYA CITY

    Dar es salaam

    Klabu ya Simba imekubali kichapo cha goli 2-1 toka klabu ya Mbeya City katika mchezo wa mkali ligi kuu uliokwisha jioni hii katika uwanja wa taifa.

    Simba ilipata goli lake kupitia kwa mshambuliaji wake kinda Ibrahim Hajib kabla ya Mbeya City kuzitwaa pointi tatu kwa magoli ya Yusuf Abdallah na
    Hamad Kibopile.

    Kufuatia kichapo hicho Simba imebaki na alama zake 13 baada ya kucheza michezo 11

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VPL:SIMBA YADUNDWA NA MBEYA CITY Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top