728x90 AdSpace

Wednesday, January 28, 2015

VPL:SIMBA YADUNDWA NA MBEYA CITY

Dar es salaam

Klabu ya Simba imekubali kichapo cha goli 2-1 toka klabu ya Mbeya City katika mchezo wa mkali ligi kuu uliokwisha jioni hii katika uwanja wa taifa.

Simba ilipata goli lake kupitia kwa mshambuliaji wake kinda Ibrahim Hajib kabla ya Mbeya City kuzitwaa pointi tatu kwa magoli ya Yusuf Abdallah na
Hamad Kibopile.

Kufuatia kichapo hicho Simba imebaki na alama zake 13 baada ya kucheza michezo 11

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: VPL:SIMBA YADUNDWA NA MBEYA CITY Rating: 5 Reviewed By: Unknown