Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Abbas Tarimba akikabidhi hundi ya malipo ya TZS Milioni 50 kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dr. Harrison Mwakyembe ikiwa ni katika jitihada za kuunga mkono maandalizi ya timu ya Serengeti Boys kama alivyoahidi siku ya uzinduzi wa kampuni mapema wiki hii.
Usain Bolt leaves diners gobsmacked as he tucks into £35 fish dinner at
restaurant in WIGAN with Premier League cult hero for a special reason
-
Diners were left speechless in a swanky restaurant near Wigan after finding
themselves lined up alongside none other than Usain Bolt.
0 comments:
Post a Comment