Faridi Miraji , Dar es salaam.
Baadhi ya wachezaji wa MC Alger ya Algeria, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere, Dar es Salaam. Timu ya Mc Alger imetua Jana Usk ikiwa Tayali kukabili Yanga .
Timu hiyo inacheza na Young Africans kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania nafasi muhimu ya kuwania nafasi ya kuingia hatua ya makund ya Kombe ka Shirikisho. Mchezo utafanyika kesho Jumamosi saa 10.00 jioni.
0 comments:
Post a Comment