728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, April 30, 2017

    Suarez,Rakitic watupia Barca ikishinda 3-0 ugenini


    Barcelona,Hispania.

    LUIS Suarez na Ivan Rakitic wameendelea kuiweka Barcelona kileleni mwa msimamo wa ligi ya La Liga baada ya usiku wa leo kuifungia miamba hiyo matatu katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya wapinzani wao wa jimbo la Catalunya,Espanyol.

    Suarez alianza kuipa uongozi Barcelona baada ya kuifungia bao la kwanza katika dakika ya 50.Dakika ya 76 Rakitic alifunga bao la pili kabla ya Suarez kuongeza la tatu katika dakika ya 87.



    Ushindi huo umeifanya Barcelona ifikishe pointi 81 sawa na wapinzani wao Real Madrid wenye mchezo mmoja mkononi.Barcelona wamecheza michezo 34 huku Real Madrid wakicheza michezo 33.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Suarez,Rakitic watupia Barca ikishinda 3-0 ugenini Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top