728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, April 17, 2017

    Tanzania yapata mwakilishi mwingine Afcon U17



    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya waamuzi watakaochezesha Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika  kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 nchini Gabon baadaye mwezi ujao.

    Mwamuzi msaidizi wa Tanzania, Frank Komba ni kati ya jumla ya waamuzi 29 wa kati na pembeni walioteuliwa katika mashindano hayo yanayotarajiwa kupamba moto kati ya Mwi 14-28.

    Ikumbukwe CAF) haikuteua mwamuzi hata mmoja kutoka Tanzania kwa ajili ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 nchini Zambia mwezi uliopita.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Tanzania yapata mwakilishi mwingine Afcon U17 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top