728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, April 23, 2017

    Arsenal yaifuata Chelsea fainali FA Cup


    London, England.

    ARSENAL imeungana na Chelsea kutinga fainali ya michuano mikongwe ya kombe la FA baada ya jioni ya leo kuifunga Manchester City mabao 2-1 katika mchezo mkali wa nusu fainali uliochezwa kwenye uwanja wa Wembley jijini London.

    Mabao yaliyoipeleka Arsenal fainali yamefungwa na Nacho Monreal pamoja na Alexis Sanchez huku bao la Manchester City likifungwa na Sergio Kun Aguero.

    Fainali ya kombe la FA itachezwa Mei 27 mwaka huu kwenye dimba la Wembley kwa Arsenal na Chelsea kupambana.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Arsenal yaifuata Chelsea fainali FA Cup Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top