728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, April 21, 2017

    Mashabiki zaidi ya 30 wafia kibanda umiza wakiufuatilia mtanange wa Europa Ligi kati ya Manchester United na RSC Anderlecht.


    Calabar,Nigeria.

    ZAIDI ya mashabiki 30 wa soka nchini Nigeria wanahofiwa kufa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya kibanda walichokuwa wakikitumia kufuatilia mtanange wa Europa Ligi kati ya Manchester United na RSC Anderlecht kukumbwa na hitilafu ya umeme.

    Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo huko Atimbo,kusini mashariki mwa jimbo la Calabar ambapo mashuhuda wa tukio hilo wamedai chanzo cha tukio hilo kimetokana na hitilafu ya umeme iliyosababishwa na waya uliochomoka kwenye nguzo na kudondokea kibandani hapo.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Mashabiki zaidi ya 30 wafia kibanda umiza wakiufuatilia mtanange wa Europa Ligi kati ya Manchester United na RSC Anderlecht. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top