728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, April 21, 2017

    WAMECHOKA:Simba yapanga kufanya maandano kisa ubabe wa TFF


    Paul Manjale,Dar Es Salaam.

    Klabu ya Simba imepanga kuandaa maandamano ya amani yatakayo fanyika tarehe 25 mwezi huu kwa lengo la kupeleka ujumbe kwa shirikisho la kandanda Tanzania juu ya maamuzi yake ya kuionea Simba.

    Klabu hiyo yenye makao makuu yake Msimbazi,Dar Es Salaam imefikia uwamzi huo saa chache zilizopita baada ya kutoka kwa taarifa za shirikisho la soka nchini kumshitaki Afisa habari wa klabu hiyo Haji Manara kwa madai ya kutoiheshimu sheria ya soka kutoliheshimu shirikisho hilo.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WAMECHOKA:Simba yapanga kufanya maandano kisa ubabe wa TFF Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top