728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, January 07, 2015

    SUSO ASAINI AC MILAN

    Milan,Italia.

    Kiungo wa Liverpool Muhispania Suso (21) ameripotiwa kusaini mkataba wa miaka 4 wa kujiunga na klabu ya Ac Milan ya Italia.

    Hata hivyo Suso aliyejiunga na Liverpool akiwa na umri wa miaka 16 na kusaini mkataba wa kulipwa mwaka 2012 atajiunga na Ac Milan mwezi mei akiwa kama mchezaji huru.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: SUSO ASAINI AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top