728x90 AdSpace

Tuesday, June 18, 2024

Baada ya Bocco, nani anayefuata Simba?



Klabu ya Simba, leo saa 7:00 mchana, itaendelea na zoezi la kuwaaga baadhi ya wachezaji ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao.
" Kupitia Simba App, tunatoa taarifa ya mchezaji mwingine anayeondoka kwenye timu yetu, uongozi unafanya juhudi kuhakikisha tunatengeneza Simba tishio ili kurejesha makali yetu". - Ahmed Ally.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Baada ya Bocco, nani anayefuata Simba? Rating: 5 Reviewed By: eryne