728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, June 18, 2024

    Baada ya Bocco, nani anayefuata Simba?



    Klabu ya Simba, leo saa 7:00 mchana, itaendelea na zoezi la kuwaaga baadhi ya wachezaji ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao.
    " Kupitia Simba App, tunatoa taarifa ya mchezaji mwingine anayeondoka kwenye timu yetu, uongozi unafanya juhudi kuhakikisha tunatengeneza Simba tishio ili kurejesha makali yetu". - Ahmed Ally.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Baada ya Bocco, nani anayefuata Simba? Rating: 5 Reviewed By: eryne
    Scroll to Top