728x90 AdSpace

Tuesday, June 18, 2024

H Baba akubali yaishe kwa Harmonize



Miaka miwili iliyopita, msanii nguli wa Bongo Fleva, H Baba alijitoa kwenye familia wa Konde Gang chini ya Harmonize na kuhamia Wasafi chini ya Diamond Platnumz.

Baada ya kuondoka kwa Harmonize, H Baba alitoa maneno mengi machafu na udhalilishaji kwa Harmonize huku akimsifia Diamond Platnumz kwa kumuomba msamaha na kumsujudia miguuni.


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: H Baba akubali yaishe kwa Harmonize Rating: 5 Reviewed By: eryne