728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, June 18, 2024

    H Baba akubali yaishe kwa Harmonize



    Miaka miwili iliyopita, msanii nguli wa Bongo Fleva, H Baba alijitoa kwenye familia wa Konde Gang chini ya Harmonize na kuhamia Wasafi chini ya Diamond Platnumz.

    Baada ya kuondoka kwa Harmonize, H Baba alitoa maneno mengi machafu na udhalilishaji kwa Harmonize huku akimsifia Diamond Platnumz kwa kumuomba msamaha na kumsujudia miguuni.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: H Baba akubali yaishe kwa Harmonize Rating: 5 Reviewed By: eryne
    Scroll to Top