728x90 AdSpace

Thursday, March 31, 2016

YANGA,AZAM DIMBANI LEO ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

Dar es salaam,Tanzania.

Yanga na Azam leo jioni zitajitupa katika viwanja vya Taifa na Chamazi Complex katika michezo ya robo fainali ya kuwania kombe la shirikisho.

Yanga itakuwa Uwanja wa Taifa kuvaana na Ndanda huku Azam ikiwa nyumbani Chamazi kupepetana na Prisons ya Mbeya.Michezo yote itapigwa kuanzia saa 10:30 jioni.


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: YANGA,AZAM DIMBANI LEO ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown