728x90 AdSpace

Sunday, March 27, 2016

OBI,IGHALO WAKOMBA TUZO NIGERIA

Na Paul Manjale
 
Kaduna,Nigeria. 


Nyota wa Nigeria wanaocheza katika ligi kuu ya Uingereza John Obinna Mikel na Odion Ighalo jana jumamosi walikuwa ni sehemu ya nyota wa Nigeria waliondoka na tuzo katika sherehe ya utoaji tuzo kwa nyota waliofanya vizuri katika soka.

Mikel pamoja na Rais wa NFF Pinnick na nyota wa zamani wa Nigeria Olusegun Odegbami walitwaa tuzo ya Sam Okwaraji Award kwa utumishi wao mwema kwa timu ya taifa huku Ighalo yeye akitwaa tuzo ya mshambuliaji bora wa mwaka na Mfalme wa dimba (King of the Pitch).Kwa upande wa akina mama tuzo ilikwenda kwa Asisat Oshoala

Tuzo zote ni kama ifuatavyo....

Kipa bora la mwaka:Ikechukwu Ezenwa-Sunshine Stars FC

Mlinzi bora wa mwaka:Chinedu Udoji-Enyimba FC


Kiungo bora wa mwaka: Paul Onobi-Sunshine Stars FC

Mshambuliaji bora wa mwaka:Odion Ighalo-Watford FC

Mchezaji mwenye thamani wa ligi ya ndani kwa wanaume (Most Valuable Player (Men) in the NPFL):Gbolahan Salami -Warri Wolves FC

Mchezaji mwenye thamani wa ligi ya ndani kwa wanawake:Most Valuable Player (Women) in the NPFL
Ngozi Ebere-Rivers Angels FC

Klabu/Timu bora ya mwaka
Enyimba FC - Klabu bora ya mwaka
Timu ya taifa ya vijana ya Nigeia ya U-17 (Golden Eaglet)

Kocha bora wa mwaka:Emmanuel Amuneke (U-17 Golden Eaglets)

Kocha bora wa klabu:Kadiri Ikhana-Enyimba FC

Mwamuzi bora wa mwaka:Ferdinand Udoh

Wakala bora wa mwaka wa wachezaji:John Olatunji Shittu

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: OBI,IGHALO WAKOMBA TUZO NIGERIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown