728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, March 27, 2016

    OBI,IGHALO WAKOMBA TUZO NIGERIA

    Na Paul Manjale
     
    Kaduna,Nigeria. 


    Nyota wa Nigeria wanaocheza katika ligi kuu ya Uingereza John Obinna Mikel na Odion Ighalo jana jumamosi walikuwa ni sehemu ya nyota wa Nigeria waliondoka na tuzo katika sherehe ya utoaji tuzo kwa nyota waliofanya vizuri katika soka.

    Mikel pamoja na Rais wa NFF Pinnick na nyota wa zamani wa Nigeria Olusegun Odegbami walitwaa tuzo ya Sam Okwaraji Award kwa utumishi wao mwema kwa timu ya taifa huku Ighalo yeye akitwaa tuzo ya mshambuliaji bora wa mwaka na Mfalme wa dimba (King of the Pitch).Kwa upande wa akina mama tuzo ilikwenda kwa Asisat Oshoala

    Tuzo zote ni kama ifuatavyo....

    Kipa bora la mwaka:Ikechukwu Ezenwa-Sunshine Stars FC

    Mlinzi bora wa mwaka:Chinedu Udoji-Enyimba FC


    Kiungo bora wa mwaka: Paul Onobi-Sunshine Stars FC

    Mshambuliaji bora wa mwaka:Odion Ighalo-Watford FC

    Mchezaji mwenye thamani wa ligi ya ndani kwa wanaume (Most Valuable Player (Men) in the NPFL):Gbolahan Salami -Warri Wolves FC

    Mchezaji mwenye thamani wa ligi ya ndani kwa wanawake:Most Valuable Player (Women) in the NPFL
    Ngozi Ebere-Rivers Angels FC

    Klabu/Timu bora ya mwaka
    Enyimba FC - Klabu bora ya mwaka
    Timu ya taifa ya vijana ya Nigeia ya U-17 (Golden Eaglet)

    Kocha bora wa mwaka:Emmanuel Amuneke (U-17 Golden Eaglets)

    Kocha bora wa klabu:Kadiri Ikhana-Enyimba FC

    Mwamuzi bora wa mwaka:Ferdinand Udoh

    Wakala bora wa mwaka wa wachezaji:John Olatunji Shittu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: OBI,IGHALO WAKOMBA TUZO NIGERIA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top