728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, May 14, 2017

    Done Deal:Simbarashe amwaga wino Singida United


    Dar Es Salaam,Tanzania.

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Zimbabwe,Simbarashe Nhivi Sithole maarufu Simba Nhivi (Pichani) akitabasamu baada ya kusaini kandarasi ya miaka miwili ya kuichezea Singida United ambayo imerejea ligi kuu bara baada ya kushuka daraja miaka 16 iliyopita.

                                                   

    Nhivi mwenye umri wa miaka 26 anajiunga na Singida United akitokea CAPS United ya nyumbani kwao Zimbabwe na kuwa mchezaji wa tano wa kimataifa kuijiunga na timu hiyo inayomilikiwa na Mfanyabiashara Maarufu nchini,Yusuph Mwandami.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Done Deal:Simbarashe amwaga wino Singida United Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top