728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, September 14, 2016

    UCL:BARCA YASHINDA 7-0,ARSENAL YAPATA SARE NYUMBANI KWA PSG (+VIDEO)


    Barcelona,Hispania.

    BARCELONA imezianza vyema harakati zake za kuusaka ubingwa wa Ulaya iliyoupoteza msimu uliopita kwa mahasimu wao Real Madrid baada ya usiku huu kuifunga Celtic kwa mabao 7-0 katika mchezo wa kwanza wa kundi C wa hatua ya makundi uliochezwa katika uwanja wa Camp Nou.

    Mabao ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi aliyefunga mabao matatu,Luis Suarez aliyefunga mabao mawili

    Mabao mengine yamefungwa na Neymar pamoja na Andres Iniesta.



    Katika mchezo mwingine uliochezwa huko Parc des Ufaransa Arsenal imetoka sare ya kufungana bao 1-1 na Paris Saint Germain.

    Paris Saint Germain ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 1 ya mchezo kupitia kwa Edinson Cavani.Alexis Sanchez aliisawazishia Arsenal kwa mkwaju mkali dakika ya 78.

    Wachezaji Olivier Giround wa Arsenal na Marco Verratti wa Paris Saint Germain walionyeshwa kadi nyekundu kwa kuleteana ubabe.

    MATOKEO MENGINE

    Basel 1-1 Ludogorets Razgrad 
    Dynamo Kyiv 1-2 Napoli
    Bayern München 5-0 Rostov
    PSV Eindhoven 0-1 Atlético Madrid
    Benfica 1-1 BeÅŸiktaÅŸ
    Manchester City P-P Borussia Mönchengladbach
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: UCL:BARCA YASHINDA 7-0,ARSENAL YAPATA SARE NYUMBANI KWA PSG (+VIDEO) Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top