728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, December 02, 2014

    WARNOCK:ZAHA NI ZAIDI YA NYOTA KIBAO WALIOKO UNITED

    Kocha mkuu wa klabu ya Crystal Palace Neil Warnock anaamini kuwa winga wake Wilfred Zaha (21) ni bora kuliko nyota wengi walioko katika kikosi cha Manchester United kinachonolewa na kocha Louis Van Gaal.

    Warnok anaamini kuwa Zaha aliyeko klabuni hapo kwa mkopo akitokea Manchester United   alishindwa kung'ara kutokana na kujiunga na klabu hiyo akiwa bado mdogo sana hivyo isingekuwa rahisi kwake kuaminiwa.

    Warnock anasema ``Namfahamu vizuri Zaha ni mchezaji mzuri sana pengine kuliko nyota wengi walioko Manchester United kwa sasa.

    Makocha huwa tuna machaguo yetu nadhani kukosa nafasi kwa Zaha kulichangiwa na mambo kama hayo"
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WARNOCK:ZAHA NI ZAIDI YA NYOTA KIBAO WALIOKO UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top