728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, December 22, 2014

    STERLING CHIPUKIZI BORA 2014

    Mshambuliaji kinda wa Liverpool, Raheem
    Sterling amekabidhiwa Tuzo ya Mwanasoka
    bora chipukizi mwaka 2014 na Chama cha
    soka cha England FA.

    Sterling alikabidhiwa tuzo hiyo kabla ya Mechi
    wa ligi kuu ya England kati ya Liverpool dhidi
    ya Arsenal wakiwa uwanja wa nyumbani
    Anfield, ambapo mechi hiyo imemalizika kwa
    sare ya goli 2-2.

    FA imekuwa na utaratibu wa kutoa tuzo ya
    Mwanasoka bora wa mwaka kwa wachezaji
    chipukizi wanaofanya vizuri katika mchezo wa
    soka.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: STERLING CHIPUKIZI BORA 2014 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top