728x90 AdSpace

Wednesday, December 31, 2014

MARIO SUAREZ ACHOKA BENCHI ATL MADRID

OKiungo wa klabu ya Atletico Madrid Mario Suarez 27 ameripotiwa kuwa katika mipango ya kutimkia England katika dirisha lijalo la usajili.

Suarez anayecheza nafasi ya kiungo cha ulinzi anataka kuondoka Atletico baada ya kuchoshwa na benchi baada ya kujikuta akiwa chaguo la mwisho nyuma ya viungo Gabi,Tiago,Raul Garcia na Sauli Nungez.

Vilabu vinavyoripotiwa kumtupia jicho kiungo huyu ni Arsenal na Manchester United na Roma ya Italia

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: MARIO SUAREZ ACHOKA BENCHI ATL MADRID Rating: 5 Reviewed By: Unknown