728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, December 03, 2014

    DROO YA FAINALI ZA AFCON KUPANGWA LEO

    Mabingwa wa zamani Zambia na waandalizi wa
    kombe la bara Afrika Equitorial Guinea ni
    miongoni mwa timu zitakazoorodheshwa
    katika droo ya kombe hilo la mwaka 2015
    Jumatano usiku.

    Shirikisho la soka barani Afrika CAF tayari
    limezigawanya timu hizo 16 katika makundi
    vyungu vinne vya kinyang'anyiro hicho cha
    january 17 hadi februari 8.

    Hatua hio ilifanyika kulingana na utendaji wa
    timu hizo katika awamu tatu ya michuano
    hiyo na mechi za kufuzu katika kipindi hicho
    hicho.

    Miongoni mwa vitu ambavyo vilitiliwa mkazo
    ni matokeo ya mechi za kufuzu kwa kombe la
    dunia mwaka 2014.

    Droo hiyo ambayo itabuni makundi manne
    yanayoshirikisha timu moja moja kutoka kila
    chungu itafanyika mjini malabo jumatano
    usiku.

    Ghana na Ivory Coast ni timu nyengine kubwa
    huku washindi wa pili wa mwaka 3013
    Burkina Faso wameorodheshwa katika kundi
    la Pili.

    2015 Nations Cup :Timu zilivyowekwa.

    Pot 1: Equatorial Guinea, Ghana, Ivory Coast,
    Zambia

    Pot 2: Burkina Faso, Mali, Tunisia, Algeria

    Pot 3: Cape Verde, South Africa, Cameroon,
    Gabon

    Pot 4: Guinea, Senegal, DR Congo, Congo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DROO YA FAINALI ZA AFCON KUPANGWA LEO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top