728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, December 28, 2014

    NYOTA ARSENAL AWEKEWA BODYGUARD WA KUMLINDA MPAKA UWANJANI

    Nyota kinda wa klabu ya Arsenal Brooklyn Bechkam  ameripotiwa kuwekewa mlinzi wa kumlinda maarufu kama bodyguard kokote anakokuwa ikiwa ni jitihada za kumlinda na watu wabaya.

    Brooklyn 15 ambaye ni mtoto wa nyota wa zamani wa klabu ya Manchester United David Beckham hivi karibuni alijiunga na klabu ya Arsenal yenye maskani yake katika dimba la Emirates na kuingia moja kwa moja kwenye kikosi cha vijana cha U-16.

    Kufuatia hatua hiyo Brooklyn amekuwa akilindwa na bodyguard maalumu ambaye hukaa katika benchi la Arsenal huku akiwa amevaa sare kama za wakufunzi (Makocha) wa klabu hiyo kila kikosi hicho kinapokuwa kikicheza mechi zake.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: NYOTA ARSENAL AWEKEWA BODYGUARD WA KUMLINDA MPAKA UWANJANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top