728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, December 31, 2014

    TEVEZ:SIONGEZI MKATABA JUVENTUS

    Mshambuliaji Carlos Teves 30 ameishitua klabu hiyo baada ya kuweka wazi kuwa hana mpango wa kuendelea kukipiga hapo pindi mkataba wake utakapo fikia tamati 2016.

    Teves aliyejiunga na mabingwa hao wa ligi ya Seria A mwaka 2013 akitokea klabu ya Manchester City kwa ada ya £10m kufanikiwa kufumania nyavu mara 36 katika michezo 72.

    Amesema``Nataka kuuheshimu mkataba wangu mpaka 2016.
    Huo ndiyo mpango wangu.Sitaki kuongeza mkataba;hivyo ndivyo ninavyojisikia kwa sasa,"

    Tevez anatarajiwa kurudi  Argentina kukipiga na klabu yake ya utotoni ya Boca Juniors kabla ya kutundika daruga.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TEVEZ:SIONGEZI MKATABA JUVENTUS Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top