728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, December 30, 2014

    IVORY COAST YATANGAZA KIKOSI CHA MAUAJI AFCON

    Kocha wa timu ya taifa ya Ivory Coast Herve Renard jana usiku alitangaza kikosi kitakachokwenda nchini  Equatorial Guinea kuwania ubingwa wa Africa maarufu kama (Afcon) zitakazoanza januari 17.

    Ivory Coast itaanza kutupa karata yake ya kwanza Januari 20 itakapovaana na wenyeji Guinea kuusaka ubingwa wa Africa baada ya kuunyakua mwaka 1992.

    Kocha Herve Renard amemuita kikosi mlinzi Kolo Toure ambaye tayari ameshatangaza kuachana na timu hiyo mara baada ya kumalizika kwa michuano hiyo.

    Kikosi kamili ni

    Makipa: Boubacar
    Barry (Lokeren), Sylvain Gbohouo (Sewe
    Sport), Sayouba Mande (Staebek)

    Mabeki: Jean-Daniel Akpa Akpro
    (Toulouse), Serge Aurier (Paris Saint-Germain)
    Eric Bertrand Bailly (Espanyol), Wilfried Kanon
    (ADO Den Haag), Sakia Tiene (Montpelier),
    Kolo Toure (Liverpool), Ousmane Viera
    (Rizespor)

    Viungo: Roger Assale (Sewe Sport), Serey
    Die (Basle), Ismael Diomande (St Etienne),
    Cheick Doukoure (Metz), Max Gradel (St
    Etienne), Cheick Tiote (Newcastle United),
    Yaya Toure (Manchester City)

    Washambuliaji: Wilfried Bony (Swansea City),
    Seydou Doumbia (CSKA Moscow), Gervinho
    (Roma), Salomon Kalou (Hertha Berlin),
    Junior Tallo (Bastia), Lacina Traore
    (Monaco).

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: IVORY COAST YATANGAZA KIKOSI CHA MAUAJI AFCON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top