728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, December 21, 2014

    BALOTELLI AITWA NAPOLI,TORRES KURUDI LIVEPOOL

    Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya dirisha la usajili barani Ulaya lifunguliwe tayari mbio za kuwania wachezaji mbalimbali zimeshaanza huku tetezi nyingi zikiendelea kumiminika kwenye blog yako pendwa ya MchakaMchaka Viwanjani.

    Kutoka ndani ya klabu ya Liverpool zinasema klabu hiyo inajipanga kumwachia kwa mkopo nyota wake Mario Balotelli kwenda klabu ya Napoli ya Italia baada ya kushindwa kuwika Anfield huku kukiwa na habari kuwa Liverpool inapanga kumsajili tena mshambuliaji Fernando Torres aliyeko kwa mkopo katika klabu ya Ac Milan ya Italia akitokea klabu ya Chelsea.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BALOTELLI AITWA NAPOLI,TORRES KURUDI LIVEPOOL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top