728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, January 05, 2015

    BARCELONA MOTO WAWAKA,PUYOL AKIMBIA LAWAMA

    Barcelona,Hispania

    Baada ya Barcelona kushindwa rufaa yake huko FIFA na kujikuta ikifungiwa kutofanya usajili kwa misimu miwili na huku jana ikiuanza mwaka 2015 kwa kipigo bundi ameendelea kuiandama miamba hiyo ya Catalunya.

    Habari za kuaminika toka ndani ya klabu hiyo zinadani raisi wa klabu hiyo Josep Maria Bartomeu leo hii amemfuta kazi aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi wa klabuni hiyo Andoni Zubizarreta.

    Baada ya tukio hilo inasemekana kuwa mlinzi wa zamani wa klabu hiyo Carles Puyor nae amejiudhuru nafasi yake ya ukurugenzi msaidizi wa ufundi aliyoipata hivi karibuni.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BARCELONA MOTO WAWAKA,PUYOL AKIMBIA LAWAMA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top