728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, January 01, 2015

    VAN GAAL AWAAMBIA WACHEZAJI WAIFUNGE STOKE KUANZIA VITANDANI

    Kocha Louis Van Gaal kwa wiki nzima amekuwa akiwaambia wachezaji wake wawaze jinsi ya kuifunga Stoke City tangu wakiwa vitandani.

    Manchester United leo inashuka katika dimba la Britannia kuivaa timu kiburi ya Stoke City katika mchezo wa mapema wa ligi kuu ya Epl.

    Van Gaal akiuzungumzia mchezo huo amesema

    “Wachezaji wote wanapaswa kulifanya hilo — kuuota mchezo,unatakiwa kuanza kuucheza mchezo uliyoko mbele yako tangu ukiwa kitandani.”

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VAN GAAL AWAAMBIA WACHEZAJI WAIFUNGE STOKE KUANZIA VITANDANI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top