728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 01, 2016

    RASMI ZLATAN IBRAHIMOVIC AJIUNGA NA MANCHESTER UNITED

    Manchester, England.

    MANCHESTER UNITED imemtangaza Mshambuliaji wa Sweden,Zlatan Ibrahimovic,kuwa mchezaji wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya kufuzu vipimo vyake vya afya.

    Ibrahimovic,34,ametangazwa jioni ya leo baada ya kuhitimisha mkataba wake katika iliyokuwa klabu yake ya zamani ya Paris Saint Germain ya Ufaransa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: RASMI ZLATAN IBRAHIMOVIC AJIUNGA NA MANCHESTER UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top